Yer. 30:21 SUV

21 Na mkuu wao atakuwa mtu wa kwao wenyewe, naye mwenye kuwatawala atakuwa mtu wa jamaa yao; nami nitamkaribisha, naye atanikaribia; maana ni nani aliye na moyo wa kuthubutu kunikaribia? Asema BWANA.

Kusoma sura kamili Yer. 30

Mtazamo Yer. 30:21 katika mazingira