Yer. 30:3 SUV

3 Kwa maana, tazama, siku zinakuja, asema BWANA, nitakapowarejeza watu wangu wa Israeli na Yuda waliofungwa, asema BWANA; nami nitawarudisha hata nchi niliyowapa baba zao, nao wataimiliki.

Kusoma sura kamili Yer. 30

Mtazamo Yer. 30:3 katika mazingira