Yer. 31:23 SUV

23 BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Watatumia tena neno hili katika nchi ya Yuda, na katika miji yake, nitakapowarudisha mateka yao; BWANA na akubariki, Ee kao la haki, Ee mlima wa utakatifu.

Kusoma sura kamili Yer. 31

Mtazamo Yer. 31:23 katika mazingira