Yer. 33:24 SUV

24 Je! Hufikiri neno hili walilolisema watu hawa, wakinena, Jamaa zile mbili alizozichagua BWANA amezitupilia mbali? Hivyo ndivyo wanavyowadharau watu wangu, ili wasiwe taifa tena mbele yao.

Kusoma sura kamili Yer. 33

Mtazamo Yer. 33:24 katika mazingira