Yer. 34:18 SUV

18 Na watu hao waliolivunja agano langu, wasioyatimiza maneno ya agano lile, walilolifanya mbele zangu, wakati ule walipomkata ndama vipande viwili, wakapita katikati ya vipande vile;

Kusoma sura kamili Yer. 34

Mtazamo Yer. 34:18 katika mazingira