Yer. 34:5 SUV

5 utakufa katika amani; na kwa mafukizo ya baba zako, wafalme wa zamani waliokutangulia, ndivyo watakavyokufukizia; nao watakulilia, Aa, BWANA! Kwa maana mimi nimelinena neno hili, asema BWANA.

Kusoma sura kamili Yer. 34

Mtazamo Yer. 34:5 katika mazingira