Yer. 36:30 SUV

30 Basi, BWANA aseme hivi, katika habari za Yehoyakimu, mfalme wa Yuda; Hatakuwa na mtu wa kukaa katika kiti cha enzi cha Daudi; na mzoga wake utatupwa nje wakati wa mchana upigwe kwa hari, na wakati wa usiku upigwe kwa baridi.

Kusoma sura kamili Yer. 36

Mtazamo Yer. 36:30 katika mazingira