Yer. 37:10 SUV

10 Maana mngelipiga jeshi lote la Wakaldayo wanaopigana nanyi, wakabaki kati yao watu waliojeruhiwa tu, hata hivyo wangeondoka kila mtu katika hema yake, na kuuteketeza mji huu.

Kusoma sura kamili Yer. 37

Mtazamo Yer. 37:10 katika mazingira