8 Naye mwenye kuteka nyara atakuja juu ya kila mji, wala hapana mji utakaookoka; bonde nalo litaangamia, nayo nchi tambarare itaharibiwa; kama BWANA alivyosema.
Kusoma sura kamili Yer. 48
Mtazamo Yer. 48:8 katika mazingira