Yer. 50:40 SUV

40 Kama vile vilivyotokea Mungu alipoangusha Sodoma na Gomora, na miji iliyokuwa karibu nayo, asema BWANA; kadhalika hapana mtu atakayekaa huko, wala hapana mwanadamu atakayekaa huko kama wageni wakaavyo.

Kusoma sura kamili Yer. 50

Mtazamo Yer. 50:40 katika mazingira