Yer. 51:9 SUV

9 Tungependa kuuponya Babeli,Lakini haukuponyeka;Mwacheni, nasi twendeni zetu,Kila mtu hata nchi yake mwenyewe;Maana hukumu yake inafika hata mbinguni,Nayo imeinuliwa kufikilia mawinguni.

Kusoma sura kamili Yer. 51

Mtazamo Yer. 51:9 katika mazingira