Yer. 7:18 SUV

18 Watoto huokota kuni, na baba zao huwasha moto, na wanawake hukanda unga, ili kumfanyizia mikate malkia wa mbinguni, na kuwamiminia miungu mingine sadaka za kinywaji, wapate kunikasirisha mimi.

Kusoma sura kamili Yer. 7

Mtazamo Yer. 7:18 katika mazingira