Yos. 18:28 SUV

28 na Zela, na Elefu, na huyo Myebusi (ndio Yerusalemu), na Gibeathi, na Kiriathi; miji kumi na minne, pamoja na vijiji vyake. Huo ndio urithi wa wana wa Benyamini kwa kuandama jamaa zao.

Kusoma sura kamili Yos. 18

Mtazamo Yos. 18:28 katika mazingira