Yos. 18:9 SUV

9 Basi watu hao wakaenda, wakapita katikati ya nchi, wakaandika habari zake katika chuo, na kuigawanya kwa miji yake, hata iwe mafungu saba, kisha wakamrejea Yoshua maragoni huko Shilo.

Kusoma sura kamili Yos. 18

Mtazamo Yos. 18:9 katika mazingira