Yos. 8:19 SUV

19 Wale watu waliovizia wakainuka kwa upesi kutoka mahali pao, nao wakapiga mbio mara hapo alipokuwa amekwisha unyosha mkono wake, wakaingia ndani ya mji, na kuushika; nao wakafanya haraka kuuteketeza kwa moto huo mji.

Kusoma sura kamili Yos. 8

Mtazamo Yos. 8:19 katika mazingira