Zek. 1:4 SUV

4 Msiwe ninyi kama baba zenu, ambao manabii wa zamani waliwalilia, wakisema, BWANA wa majeshi asema hivi, Rudini sasa, na kuziacha njia zenu mbovu, na matendo yenu maovu; lakini hawakusikia, wala kunisikiliza, asema BWANA.

Kusoma sura kamili Zek. 1

Mtazamo Zek. 1:4 katika mazingira