Zek. 10:2 SUV

2 Kwa maana vinyago vimenena maneno ya ubatili, nao waaguzi wameona uongo; nao wameleta habari za ndoto za uongo, wafariji bure; kwa sababu hiyo waenda zao kama kondoo, wateswa, kwa sababu hapana mchungaji.

Kusoma sura kamili Zek. 10

Mtazamo Zek. 10:2 katika mazingira