Zek. 10:5 SUV

5 Nao watakuwa kama mashujaa, wakanyagao adui zao katika matope ya njia vitani; nao watapiga vita, kwa sababu BWANA yu pamoja nao; na hao wapandao farasi watafadhaishwa.

Kusoma sura kamili Zek. 10

Mtazamo Zek. 10:5 katika mazingira