Zek. 14:13 SUV

13 Tena itakuwa siku hiyo, ya kwamba mashaka makubwa yatokayo kwa BWANA yatakuwa kati yao; na kila mmoja wao atakamata mkono wa jirani yake, na mkono wake utainuliwa ili kushindana na mkono wa jirani yake.

Kusoma sura kamili Zek. 14

Mtazamo Zek. 14:13 katika mazingira