Zek. 5:9 SUV

9 Ndipo nikainua macho yangu, nikaona, na tazama, wanawake wawili walitokea, nao upepo ulikuwa katika mabawa yao; na mabawa yao yalikuwa kama mabawa ya korongo; wakaiinua ile efa kati ya dunia na mbingu.

Kusoma sura kamili Zek. 5

Mtazamo Zek. 5:9 katika mazingira