1 Mambo Ya Nyakati 1:43 BHN

43 Wafuatao ndio wafalme waliotawala nchi ya Edomu kabla mfalme yeyote hajatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori alitawala nchi ya Edomu, akiwa na makao yake makuu katika mji wa Dinhaba.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 1

Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 1:43 katika mazingira