46 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi alitawala badala yake, makao yake makuu yakiwa katika mji wa Avithi. Huyu ndiye aliyewapiga na kuwashinda Wamidiani katika nchi ya Moabu.
Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 1
Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 1:46 katika mazingira