13 Basi jipe moyo! Tupigane kiume kwa ajili ya watu wetu, na kwa ajili ya miji ya Mungu wetu; na Mwenyezi-Mungu atutendee lile analoona ni jema kwake.”
Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 19
Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 19:13 katika mazingira