16 Hii ndiyo orodha ya wakuu wa makabila ya Israeli: Wa Wareubeni, Eliezeri mwana wa Zikri; Eliezeri ndiye aliyekuwa ofisa mkuu; wa Wasimeoni, Shefatia mwana wa Maaka;
Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 27
Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 27:16 katika mazingira