11 aliyemzaa Yehoramu, aliyemzaa Ahazia, aliyemzaa Yoashi,
12 aliyemzaa Amazia, aliyemzaa Uzia, aliyemzaa Yothamu,
13 aliyemzaa Ahazi, aliyemzaa Hezekia, aliyemzaa Manase,
14 aliyemzaa Amoni, aliyemzaa Yosia.
15 Yosia alikuwa na wana wanne: Yohanani, mzaliwa wake wa kwanza, wa pili Yehoyakimu, wa tatu Sedekia na wa nne Shalumu.
16 Yehoyakimu alikuwa na wana wawili: Yekonia na Sedekia.
17 Wana wa Yekonia aliyechukuliwa mateka na Wababuloni walikuwa saba: Shealtieli,