37 mwana wa Tahathi, mwana wa Asiri, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora,
38 mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, mwana wa Israeli.
39 Asafu, ndugu yake alikuwa upande wake wa kulia. Ukoo wake kutokana na Lawi: Asafu, mwana wa Berekia, mwana wa Shimea,
40 mwana wa Mikaeli, mwana wa Baaseya, mwana wa Malkiya,
41 mwana wa Ethni, mwana wa Zera, mwana wa Adaya,
42 mwana wa Ethani, mwana wa Zima, mwana wa Shimei,
43 mwana wa Yahathi, mwana wa Gershomu, mwana wa Lawi.