1 Samueli 12:14 BHN

14 Kama mkimcha Mwenyezi-Mungu, na kumtumikia, na kusikiliza sauti yake bila kuiasi amri yake, kama nyinyi wenyewe pamoja na mfalme anayewatawala mkimfuata Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, basi mtafanikiwa.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 12

Mtazamo 1 Samueli 12:14 katika mazingira