1 Samueli 12:23 BHN

23 Tena kwa upande wangu haitatokea niache kuwaombea kwa Mwenyezi-Mungu; kufanya hivyo itakuwa kumkosea Mwenyezi-Mungu. Nitaendelea kuwafundisha njia njema na ya haki.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 12

Mtazamo 1 Samueli 12:23 katika mazingira