1 Samueli 2:21 BHN

21 Mwenyezi-Mungu alimhurumia Hana naye akajaliwa kupata watoto wa kiume watatu na mabinti wawili. Mtoto Samueli akaendelea kukua mbele ya Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 2

Mtazamo 1 Samueli 2:21 katika mazingira