1 Samueli 2:25 BHN

25 Mtu akimkosea mwenzake, anaweza kuombewa kwa Mungu, ili Mungu amsamehe. Lakini mtu akimkosea Mwenyezi-Mungu nani awezaye kumwombea msamaha?” Lakini watoto hao hawakumsikiliza baba yao, kwani Mwenyezi-Mungu alikwisha kata shauri kuwaua.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 2

Mtazamo 1 Samueli 2:25 katika mazingira