1 Samueli 27:12 BHN

12 Kwa hiyo, Akishi alimsadiki Daudi, akifikiri, “Wananchi wenzake Waisraeli hawampendi kabisa; kwa hiyo, atanitumikia maisha yake yote.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 27

Mtazamo 1 Samueli 27:12 katika mazingira