1 Samueli 27:3 BHN

3 Daudi na watu wake pamoja na jamaa yake wakaishi na Akishi huko Gathi. Daudi alikuwa na wake wawili: Ahinoamu kutoka Yezreeli na Abigaili mjane wa Nabali kutoka mji wa Karmeli.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 27

Mtazamo 1 Samueli 27:3 katika mazingira