1 Samueli 30:26 BHN

26 Daudi aliporejea Siklagi, aliwapelekea rafiki zake, ambao ni wazee wa Yuda, sehemu ya nyara akisema, “Nawapelekea zawadi kutoka nyara za maadui wa Mwenyezi-Mungu.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 30

Mtazamo 1 Samueli 30:26 katika mazingira