1 Samueli 4:16 BHN

16 Yule mtu akamwambia Eli, “Mimi nimetoka vitani sasa hivi; nimekimbia kutoka vitani leo.” Eli akamwuliza, “Mwanangu, mambo yalikuwaje huko?”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 4

Mtazamo 1 Samueli 4:16 katika mazingira