2 Mambo Ya Nyakati 22:1 BHN

1 Wakazi wa Yerusalemu walimpa Ahazia, mwana mdogo wa Yehoramu, ufalme, atawale mahali pa baba yake kwa sababu wakubwa wake wote waliuawa na kikundi fulani kilichokuja kambini pamoja na Waarabu. Hivyo, Ahazia mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, akatawala.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 22

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 22:1 katika mazingira