15 Siku ya kumi na nne ya mwezi huo walichinja mwanakondoo wa Pasaka. Makuhani na Walawi waliona aibu, wakajitakasa na kuleta sadaka za kuteketeza katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu.
Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 30
Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 30:15 katika mazingira