Amosi 6:12 BHN

12 Je, farasi waweza kupiga mbio miambani?Je, watu huilima bahari kwa ng'ombe?Lakini nyinyi mmeigeuza haki kuwa sumu,na tunda la uadilifu kuwa uchungu.

Kusoma sura kamili Amosi 6

Mtazamo Amosi 6:12 katika mazingira