14 Mwenyezi-Mungu wa majeshi asema hivi:“Enyi Waisraeli,kweli nitaleta taifa moja lije kuwashambulia,nalo litawatesa nyinyi kuanzia Lebo-hamathi kaskazini,hadi kijito cha Araba, upande wa kusini.”
Kusoma sura kamili Amosi 6
Mtazamo Amosi 6:14 katika mazingira