Nehemia 1:2 BHN

2 Hanani, mmoja wa ndugu zangu, akaja pamoja na baadhi ya watu toka nchini Yuda. Nikawauliza kuhusu Wayahudi wenzetu waliosalimika, yaani ambao hawakuhamishiwa Babuloni na kuhusu mji wa Yerusalemu.

Kusoma sura kamili Nehemia 1

Mtazamo Nehemia 1:2 katika mazingira