Waamuzi 1:29 BHN

29 Watu wa kabila la Efraimu hawakuwafukuza Wakanaani walioishi huko Gezeri, na hawa waliishi huko pamoja na watu wa Efraimu.

Kusoma sura kamili Waamuzi 1

Mtazamo Waamuzi 1:29 katika mazingira