30 Watu wa kabila la Zebuluni hawakuwafukuza wakazi wa mji wa Kitroni, wala wale wa mji wa Nahalali, waliendelea kukaa pamoja nao wakiwafanyiza kazi za kulazimishwa.
Kusoma sura kamili Waamuzi 1
Mtazamo Waamuzi 1:30 katika mazingira