Waamuzi 1:7 BHN

7 Adoni-bezeki akasema, “Wafalme sabini waliokatwa vidole gumba vya mikono na miguu waliokota makombo chini ya meza yangu. Sasa Mungu amenilipa kama nilivyotenda.” Wakampeleka Yerusalemu, akafia huko.

Kusoma sura kamili Waamuzi 1

Mtazamo Waamuzi 1:7 katika mazingira