Waamuzi 13:12 BHN

12 Kisha Manoa akasema, “Sasa maneno yako yatakapotimia ni mambo gani tutakayofuata kwa ajili ya huyo mtoto? Tutafanya nini kwa ajili yake?”

Kusoma sura kamili Waamuzi 13

Mtazamo Waamuzi 13:12 katika mazingira