Waamuzi 13:6 BHN

6 Mwanamke huyo akaenda kumwambia mume wake, “Mtu wa Mungu ambaye sura yake ilikuwa kama ya malaika wa Mungu alinijia. Sikumwuliza alikotoka wala hakuniambia jina lake.

Kusoma sura kamili Waamuzi 13

Mtazamo Waamuzi 13:6 katika mazingira