Waamuzi 13:8 BHN

8 Kisha Manoa akamwomba Mwenyezi-Mungu, akisema, “Nakuomba ee Mwenyezi-Mungu, umtume tena yule mtu wako uliyemtuma ili atufundishe mambo tunayopaswa kumtendea huyo mtoto atakayezaliwa.”

Kusoma sura kamili Waamuzi 13

Mtazamo Waamuzi 13:8 katika mazingira