Waamuzi 15:10 BHN

10 Watu wa Yuda wakawauliza, “Kwa nini mmekuja kutushambulia?” Nao wakawajibu, “Tumekuja ili tumfunge Samsoni na kumtendea kama alivyotutendea.”

Kusoma sura kamili Waamuzi 15

Mtazamo Waamuzi 15:10 katika mazingira