Waamuzi 20:36 BHN

36 Hivyo watu wa kabila la Benyamini wakaona kwamba wameshindwa.Waisraeli walirudi nyuma kana kwamba wanawakimbia watu wa kabila la Benyamini, kwani walitegemea wenzao waliokuwa wamewekwa kuotea mji wa Gibea.

Kusoma sura kamili Waamuzi 20

Mtazamo Waamuzi 20:36 katika mazingira