Waamuzi 20:35 BHN

35 Mwenyezi-Mungu aliwashinda watu wa Benyamini mbele ya Waisraeli. Waisraeli wakawaua watu wa Benyamini 25,100. Hao wote waliouawa walikuwa askari walioweza kutumia silaha.

Kusoma sura kamili Waamuzi 20

Mtazamo Waamuzi 20:35 katika mazingira