Waamuzi 20:41 BHN

41 Ndipo Waisraeli wakageuka, na watu wa kabila la Benyamini wakakumbwa na fadhaa kwani sasa waliona kuwa kuangamia kwao kulikuwa kumekaribia.

Kusoma sura kamili Waamuzi 20

Mtazamo Waamuzi 20:41 katika mazingira