42 Kwa hiyo wakageuka, wakawakimbia Waisraeli kuelekea jangwani, lakini vita vikawakumba; wakajikuta wako katikati ya majeshi mawili ya Israeli, na askari waliotoka wakawaangamiza.
Kusoma sura kamili Waamuzi 20
Mtazamo Waamuzi 20:42 katika mazingira